Siha Njema
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.
Soma yanayofuataSikiliza kipindi kilichopita
-
Kushamiri kwa kipindu pindu katika mataifa ya Afrika na juhudi kuikabili
Mataifa ya Afrika yameendelea kuripoti uwepo wa Kipindu Pindu nchi la Malawi ikiwa imeathirika zaidi.03/02/202310:10 -
HAMASISHO KUHUSU SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI ( CERVICAL CANCER)
Saratani ya shingo ya kizazi ni mojawapo ya aina ya saratani inayoongoza katika idadi ya vifo dunia ikifuatiwa na saratani ya matiti.24/01/202309:50 -
Mzigo wa matumizi ya dawa za Kulevya nchini Kenya
Matumizi ya dawa za kulevya ,umeendelea kuwa mzigo katika mataifa mengi ,familia nyingi zikilazimika kuwapoteza jamaa zao ambao wangechangia ujenzi wa taifa20/01/202309:53 -
Mashirika ya kiraia yanavyopambana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya HIV Kenya
Unyanyapaa na ukosefu wa usawa kwenye mikakati ya kupambana na HIV ni baadhi ya sababu zinazorudisha nyuma mapambana kushinda UKIMWI05/01/202309:57 -
MSF inatumia teknolojia ya Antibiogo kupambana na usugu wa vimelea
Shirika la afya duniani WHO limeeleza wasi wasi kuhusu ongezeko la usugu wa vimelea.26/12/202209:20 -
WHO yasambaza chanjo ya Ebola Uganda ,utapiamlo ukiendelea kuwa Sugu Nigeria na nchi za Afrika
Shirika la afya duniania WHO limesambaza tayari dozi kadhaa za chanjo ya Ebola nchini Uganda. Na katika mataifa kadhaa ya Afrika yakiwemo Nigeria ,Kenya ,utapia mlo unaendelea kushuhudiwa.26/12/202210:10 -
Waathiriwa wazungumzia unyanyapaa na ukosefu wa usawa
Shirika la umoja wa mataifa linaloratibu mikakati ya kupambana na Ukimwi ,UNAIDs limeonya kuhusu kutokuwa na usawa ulimwengu katika mapambano hayo09/12/202210:16 -
Vyakula vya kiasili kama njia ya kukabili njaa
Watu wengi wanakabiliwa na njaa barani Afrika05/12/202209:25 -
Kuzalishwa kwa Vyakula vya GMO nchini Kenya,watalam wakinzana
Katika kujaribu kuimarisha usalama wa chakula nchini Kenya ,serikali iliondoa maarufuku ya uzalishaji na uagizaji wa vyakula vya GMO.05/12/202210:08 -
Uviko 19 ulivyoathiri mapambano dhidi ya Ukimwi DRC
Uwekezaji kwenye mapambano dhidi ya Uviko 19 umefanya serikali kuweka pembeni mikakati ya kupigana na Ukimwi05/12/202209:59 -
Dalili na utaratibu kuwasaidia wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya akili
Katika makala hayo ,tunatambua namna unaweza kumsaidia mapema yeyote anayesumbuka na afya ya akili11/11/202210:06 -
Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu kwenye Mataifa ya Kusini mwa Afrika
Nchi kadhaa barani Afrika na Asia zimeripoti mlipuko wa kipindupindu mwaka 2021 na 2022, ambapo nchini Kenya takwimu zilionyesha katika mwezi Oktoba, kaunti 6 katii ya 47 zilikuwa katika hatari.09/11/202209:51 -
Afya ya akili barani Afrika bado haizingatiwi
Kwenye makala haya ,tunazungumzia namna ya kujikinga na Ebola ,ugonjwa unaoendelea kuripotiwa nchini Uganda ,vile vile tunazungumzia afya ya akili ,wakati ulimwengu ukiwa umeadhimisha siku ya kimataifa ya afya ya akili ;jumatatu tarehe 10 mwezi wa Kumi.WHO ina was wasi idadi kubwa ya watu wanaojiua wanatokea Afrika13/10/202209:51 -
Hali ya Sekta ya Afya Afrika wakati wa magonjwa ya milipuko
Kwenye makala haya tunaangazia hali ya huduma za afya na hali ya wahudumu wa afya barani Afrika ,wakati huu ukanda huu ukiripoti kuongezeka kwa magonjwa ya milipuko.Shirika la afya duniani linasikitika kuwa wahudumu wa afya wanandelea kupoteza maisha wakati wanahudumia wagonjwa wakati wa magonjwa ya milipuko. Baada ya janga la Corona ,mataifa kadhaa ya Afrika yanashuhudia msambao wa ugonjwa wa Ebola05/10/202210:18 -
Mlipuko wa Ebola Sudan nchini Uganda
Tunazungumzia ugonjwa wa Ebola ambao unaendelea kuripotiwa nchini Uganda ukiwa ni mlipuko wa tano. Watu 24 wamepoteza maisha huku ugonjwa huu ukiendelea kusambaa. Aina hii ya Ebola Sudan japo haijaripotiwa kusababisha vifo vingi kwa haraka kama vile Ebola Zaire iliyokuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,bado haina chanjo.Mataifa majirani kama vile Rwanda ,Tanzania na Kenya kutokana na hali hii zimeanza kuweka mikakati ya kukabiliana na hali ya dharura29/09/202209:24
Makala inayojadili kwa kina masuala ya afya, tiba na kutambua magonjwa mbalimbali bila ya kusahau namna ya kukabiliana nayo. Watalaam walibobea kwenye sekta ya afya watakujuvya na kukuelimisha juu ya umuhimu wa kuwa na afya bora na si bora afya. Pia utawasikiliza kwa maneno yao watu ambao wameathirika na magonjwa mbalimbali na walikumbwa na nini hadi kufika hapo walipo.