Siha Njema
Kushamiri kwa kipindu pindu katika mataifa ya Afrika na juhudi kuikabili
Imechapishwa:
Cheza - 10:10
Mataifa ya Afrika yameendelea kuripoti uwepo wa Kipindu Pindu nchi la Malawi ikiwa imeathirika zaidi.
Matangazo ya kibiashara
Barani Afrika ,mlipuko wa ugonjwa Kipindu Pindu umeendelea kuripotiwa .Taifa la Malawi ilibidi kufunga shule na kuomba msaada kutoka mataifa mengine kuikabili. Nchini DRC ,maambukizo mapya pia yamezifdi kupanda na wahudumu wa afya wako mbioni kutoa chanjo kwa raia katika maeneo yenye idadi kubwa ya maambukizo mapya.