Siha Njema
MSF inatumia teknolojia ya Antibiogo kupambana na usugu wa vimelea
Imechapishwa:
Cheza - 09:20
Shirika la afya duniani WHO limeeleza wasi wasi kuhusu ongezeko la usugu wa vimelea.
Matangazo ya kibiashara
Takwimu za WHO zinaeleza kuwa idadi ya kubwa ya dawa aina za antibiotics zinazotumika kwenye mataifa yanayoendelea,yanatumika vibaya na hii inatia wasi wasi ya kuongeza visa vya usugu wa vimelea vinavyosababisha magonjwa tofauti.
Shirika la madaktari wasio na mipaka,MSF limekuja na teknolojia mpya ya kukabili tatizo hili ,kutumia Antibiogo