Pata taarifa kuu
Siha Njema

MSF inatumia teknolojia ya Antibiogo kupambana na usugu wa vimelea

Imechapishwa:

Shirika la afya duniani WHO limeeleza wasi wasi kuhusu ongezeko la usugu wa vimelea.

Mhudumu kwenye maabara ya MSF
Mhudumu kwenye maabara ya MSF © Ismael Diallo - Ismael Diallo/MSF
Matangazo ya kibiashara

Takwimu za WHO zinaeleza kuwa idadi ya kubwa ya dawa aina za antibiotics zinazotumika kwenye mataifa yanayoendelea,yanatumika vibaya na hii inatia wasi wasi ya kuongeza visa vya usugu wa vimelea vinavyosababisha magonjwa tofauti.

Shirika la madaktari wasio na mipaka,MSF limekuja na teknolojia mpya ya kukabili tatizo hili ,kutumia Antibiogo

Vipindi vingine
  • 10:14
  • 10:20
  • 08:40
  • 10:25
  • 10:09
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.