Zanzibar-Tanzania
Maandalizi ya Sauti Za Busara
Mratibu wa Mradi waTamasha la Sauti Za Busara, Journey Ramadhan, ameweka bayana kuhusu hatua mbalimbali ambazo wamekuwa wakichukuwa kuliboresho tamasha hilo mwaka huu ili kulitangaza tamasha hili kimataifa zaidi. Mengi zaidi na muandishi wetu Ebby Shaban Abdallah
Imechapishwa: Imehaririwa:
Cheza - 01:46