DRC: Serikali imesisitizia suala la kuondoka kwa wanajeshi wa EAC
Serikali nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, inasema vikosi vya Jumuiya ya Afrika Mashariki vimeshindwa kurejesha amani mashariki mwa taifa hilo na kutoa wito kwa jeshi hilo kuondoka kufikia mwezi Desemba.
Imechapishwa: