Ugonjwa wa Marburg yaendelea kusambaa katika mataifa ya Afrika
Ugonjwa wa Marburg unaofanana na Ebola umegunduliwa katika mataifa zaidi ya Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 02:45
Matangazo ya kibiashara
Kwenye mahojiano jioni hii, tunaangazia ugonjwa wa Marburg ambao umegundulika katika eneo la Kagera Kaskazini Magharibi mwa Tanzania na kusababisha vifo vya watu watano.
Huko nchini Equatorial Guinea WHO inasema maambukizi mapya manane yamebainika.
Carol Korir, amezungumza na Daktari Davji Bhimji Atella ambaye pia ni Katibu Mkuu wa chama cha Madaktari nchini Kenya.