Pata taarifa kuu
Rio 2016-KENYA

Kenya yapata medali ya kwanza ya dhahabu ya wanariadha walemavu

Mwanariadha mlemavu wa Kenya amejinyakulia medali ya dhahabu ya Michezo ya Olimpiki ya walemavu inayoendelea katika mji wa Rio de Janeiro, Nchini Brazil.

Samwell Kimani, mwanariadha kutoka Kenya, amepata medali ya dhahabu kwa mara ya pili katika mashindano ya Michezo ya wanariadha walemavu.
Samwell Kimani, mwanariadha kutoka Kenya, amepata medali ya dhahabu kwa mara ya pili katika mashindano ya Michezo ya wanariadha walemavu. Getty Images
Matangazo ya kibiashara

Afrika imerudi kupata sifa kupitia Kenya, katika michezo ya kimataifa, inayowakutanisha wanariadha mbalimbali duniani.

Samwel Kimani, ambaye ni kipofu ameibuka mshindi katika mbio za mita 5000 katika hatua ya T11 ya michezo ya riadha (mbio za vipofu wakiongozwa na kijiti).

Samwell Kimani mshindia medali ya pili ya dhahabu tangu kushiriki michezo hii ya kimataifa baada Mashindano ya mjini London mwaka 2012.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.