Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Jeshi la Uganda kutoka DRC baada ya kuangamiza ADF, Dunia yapambana na Omicron
Imechapishwa:
Cheza - 20:20
Makala hii imeangazia kauli ya jeshi la Uganda (UPDF) kuwa halitaondoka mashariki mwa DRC hadi pale waasi wa ADF watakapotokomezwa. Rwanda imepokea faru weupe na kuwahifadhi katika mbuga Akagera, rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ayataka mataifa ya Afrika kushirikiana ili kupambana na kirusi cha omicron, lakini pia uchaguzi wa nchini Gambia na mengine mengi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi.