Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Tanzania yaadhimisha miaka 60 ya Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika ,mafuriko yaripotiwa Kenya

Imechapishwa:

Makala haya yanaangazia yaliyojiri nchini Kenya na Tanzania kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha vifo vya watu zaidi ya 70 ,mgomo wa madaktari nchini Kenya, Tanzania kuadhimisha miaka 60 tangu kuundwa kwa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, safari za wahamiaji walioko nchini Uingereza kuelekea nchini RwandaTutaangazia pia uchaguzi wa wabunge nchini Togo,usalama wa Burkina Faso , na Ulimweguni  tutazidi kuangazia Mzozo unaondelea baina ya Israel na Hamas .

Shirika la msalaba mwekundu nchini Kenya linasema kuwa zaidi ya watu elfu 20 wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko
Shirika la msalaba mwekundu nchini Kenya linasema kuwa zaidi ya watu elfu 20 wamepoteza makazi yao kutokana na mafuriko REUTERS - STRINGER
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.