Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Hali ya sintofahamu Afghanistan, watu 18 wauawa DRC na rufaa ya BBI yakataliwa Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:11
Makala hii imeangazia hali ya wasiwasi ilivyoshuhudiwa nchini Afghanistan baada ya Taliban kuudhibiti mji mkuu wa Kaboul, kule nchini DRC watu 18 wauawa mashariki mwa nchi hiyo, na nchini Kenya mahakama ya rufaa ilitupilia mbali kesi inayohusu mchakato wa mabadiliko ya katiba maarufu kama BBI, na mengine mengi.Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi.