Changu Chako, Chako Changu
Historia ya waswahili wa Burundi sehemu ya tatu ndani ya Changu Chako Chako Changu
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Katika sehehemu hii ya tatu na ya mwisho ya makala kuhusu historia ya waswahili wa Burundi, mzee anzuruni anatueleza hapa kuhusu harakati za kumtambua mswahili wa Burundi zilipofikia. Utafahamu pia kuhusu historia ya mwanamuziki Jux kutoka nchini Tanzania. ambatana naye Ali Bllali hapa rfi kiswahili. usikosi pia kumfollow kwa instagram @billy_bilali
Matangazo ya kibiashara