Changu Chako, Chako Changu
Mila na tamaduni za watu wa Rumonge Kusini mwa Burundi, Andy Mwag msanii tishio jukwaani
Imechapishwa:
Cheza - 20:00
Katika makala haya Jumapili ya leo Ali Bilali anakuletea mila na tamaduni za watu wa Rumonge kusini mwa Burundi, na kwenye muziki utamsikia msanii Andy Mwag mwanamuziki kutoka nchini Burundi ambae amekuwa tishio jukwaani katika muziki wa Live. Ambatana na mtangazaji wako mwanzo hadi tamati, na usiksahau kumfollow kwa instagram kwa kuandika