Pata taarifa kuu
Changu Chako, Chako Changu

Kongamano la idhaa za kiswahili duniani, umuhimu wa kujifunza lugha ya Kiswahili

Imechapishwa:

Makala haya mtangazaji wako Ali Bilali amezungumza na Msimamizi wa kituo cha radio China Kimataifa ambaye ni raia wa China kufahamu zaidi kwanini alivutiwa na swala la kujifunza lugha ya kiswahili, ni katika muktada wa kongamano la idhaa za kiswahili duniani lililofanyika Mbeya nchini Tanzania. Kwenye Muziki utasikiliza wimbo wa mwanamuziki Lupman mwenye asili ya Burundi anaefanya kazi yake huko Sweeden.

Bi Zahra Mkuu wa Radio China Kimataifa
Mtangazaji Ali Bilali wa idhaa ya kiswahili ya RFI katika mahojiano na mkuu wa radio China Kimataifa © Ronald
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.