Jukwaa la Michezo
CAF 2016:Michuano ya klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 24:04
Jumapili hii katika Makala ya Jukwaa la Michezo tunajadili michuano ya soka hatua ya 16 ya klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika mwaka 2016. Mabingwa watetezi TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wako hatarini ya kuondolewa baada ya kufungwa na Wydad Casablanca ya Morocco mabao 2 kwa 1.