Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

CAFCL:Simba na Yanga zabanduliwa michuano ya Klabu Bingwa Afrika

Imechapishwa:

Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na uchambuzi wa hatua ya robo fainali mkondo wa pili michuano ya Klabu Bingwa Afrika, matokeo ya kufuzu soka Olimpiki ya kina dada, mwanasoka wa Afrika Kusini kuuawa, PSG Academy yatoa mafunzo kwa makocha nchini Rwanda, Kenya yatangaza orodha yake ya wanariadha wa mbio za Marathon kwenye Olimpiki ya mwaka huu, Ufaransa na Kenya kushirikiana kujenga viwanja nane nayo PSG ikiwa tayari kutoa pauni milioni 111 kumsajili mshambuliaji wa Nigeria Victor Osimhen

Klabu ya Simba SC ikicheza na Al Ahly katika mchuano wa kwanza wa kuwania ligi ya soka barani Afrika
Klabu ya Simba SC ikicheza na Al Ahly katika mchuano wa kwanza wa kuwania ligi ya soka barani Afrika © CAF_Online
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.