Jukwaa la Michezo
Mataifa 15 yafuzu kucheza kombe la mataifa bingwa barani Afrika mwakani
Imechapishwa:
Cheza - 21:27
Hatimaye, mataifa 15 yamefuzu kucheza katika fainali ya mchezo wa soka kuwania taji la Afrika mapema mwaka ujao nchini Equitorial Guinea.Mataifa hayo ni pamoja na wenyeji Equitorial Guinea, Ghana, Zambia, Burkina Faso, Ivory Coast, Mali, Tunisia,Algeria, Cape Verde, South Africa, Gabon , DR Congo Cameroon ,Senegal, Guinea na Congo.