Gaza: UNSC kukutana tena kuhusu azimio la kusitisha mapigano
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura Jumanne hii, Desemba 19, kuhusu nakala mpya inayotaka "kusitishwa kwa haraka na kudumu kwa mapigano" huko Gaza, kura iliyopangwa kufanyikasiku ya Jumatatu.
Imechapishwa: