Wimbi la Siasa
Kipimo cha Demokrasia nchini Zimbabwe, huku wananchi wakipiga kura
Imechapishwa:
Cheza - 10:14
Wananchi wa Zimbabwe, wanapiga kura kumchagua rais na wabunge. Rais Emmerson Dambudzo Mnangagwa 80, anapambana na mgombea wake mkuu Nelson Chamisa, 45. Nini hatima ya demokrasia nchini Zimbabwe ? Tunajadili kipimo cha demokrasia katika taifa hilo la Kusini mwa Afrika.