Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Ziara ya rais E. Macron huko Israel, mapigano mashari mwa DRC, siasa za Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:10
Makala hii imeangazia ziara ya rais wa Ufaransa Emmanuel Macron huko Israeli, maombi kutaka bunge liidhinishe mpango wa kutumwa kwa askari wake elfu 1 nchini Haiti, hali ya kisiasa na usalama huko DRC, nchini Sudan, lakini pia hali tete ya kiafya ya kinara wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko, na matukio kadhaa yaliyoshuhudiwa kwengineko duniani. Ungana na mwanahabari wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi