Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Dunia yakaribisha mwaka mpya chini ya maambukizi ya kirusi cha Omicron, uasi wazidi DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Makala ya juma hili imeangazia namna ambavyo dunia imeukaribisha mwaka mpya wa 2022 huku kukiwa na ripoti za kuongezeka kwa maambukizi ya kirusi kipya kilichopewa jina la Omicron hasa zaidi kwenye mataifa ya bara la Ulaya, Marekani na penginepo; pamoja na mambo mengine mengi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata maelezo kamili.