Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Umoja wa mataifa washutumu Burundi kuhusu haki za binadamu wiki hii

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia ripoti ya tume ya umoja wa mataifa kuhusu haki za binadamu nchini Burundi ambayo imeonesha kuzorota kwa haki za binadamu, katika kipindi cha miezi 15 iliyopita, nchini DR Congo polisi jijini Kinshasa walitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa muungano wa upinzani wa Lamuka walipoandamana kupinga kuingiliwa kisiasa kwa CENI, Septemba 14 aliuawa mwanachama maarufu wa wakimbizi wa Rwanda nchini Msumbiji Revocat Karemangingo, afisa wa zamani wa jeshi la Rwanda lililopinduliwa na mwenye cheo cha luteni pamoja na mambo mengine mengi kutoka kila kona ya dunia.

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye awasili kwa ajili ya uzinduzi wa kutoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 3,000 katika jela kuu la Mpimba, kama sehemu ya juhudi za kupunguza msongamano katika magereza, Bujumbura, Burundi Aprili 26, 2021.
Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye awasili kwa ajili ya uzinduzi wa kutoa msamaha kwa wafungwa zaidi ya 3,000 katika jela kuu la Mpimba, kama sehemu ya juhudi za kupunguza msongamano katika magereza, Bujumbura, Burundi Aprili 26, 2021. REUTERS - EVRARD NGENDAKUMANA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.