Changu Chako, Chako Changu
Hofu ya wananchi kuzuru Jumba la Makumbusho ya Kolwezi kisa uwepo wa mizimu
Imechapishwa:
Cheza - 19:59
Ni furaha kubwa kukutana nawe kwa mara nyingine tena katika Makala haya Changu Chako Chako Changu ambapo leo naungana na mwenzangu Denise Maheho kukujuza kuhusu jumba la makumbusho la huko Kolwezi, na kwenye le parler francophone nitakujuza kuhusu shughuli za utamaduni kwenye vituo vya Alliance francaise ya Nairobi na Dar es salaam na kwenye Muzki nitakuletea mwanamuziki Diamond Plantnumz ambae juma hili ameadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwake.