Changu Chako, Chako Changu
Vijana wa Uvira na harakati ya kukuza sanaa ya kuigiza filamu, mwanamuziki Force Gave
Imechapishwa:
Cheza - 19:57
Makala haya ya leo Changu Chako Chako Changu mtangazaji wako wa maswala ya historia sanaa na utamaduni Ali Bilali ametembelea huko Uvira na kufanya mazungumzo kuhusu sanaa hii ya kuigiza katika eneo hilo, lakini pia utapata kumsikia mwanamuziki kutoka eneo hilo Mr Gave. Ambatana naye. usikosi pia kumfollow katika mitandao ya kijamii facebook na instagram @billy_bilali