Viongozi wa kikanda wamekutana Luanda kujadili usalama mashariki ya DRC
Nairobi – Viongozi kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC, Jumuiya ya Afrika ya Kati na eneo la Maziwa Makuu, ICGLR chini ya Umoja wa Afrika, walikutana jana jijini Luanda nchini Angola kujadili hali ya usalama Mashariki mwa DRC
Imechapishwa:
Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa baada ya mkutano huo, viongozi hao wamepogeza hatua za kisiasa na kijeshi zinazofanyika kujairbu kurejesha amani ya kudumu Mashariki mwa DRC licha ya changamoto zinzoendelea, ikiwemo watu waliokimbia makaazi yao kuendelea kukabiliwa na ukosefu wa mahitaji muhimu ya binadamu.
#RDC 27.06.2023|#Luanda
— Présidence RDC 🇨🇩 (@Presidence_RDC) June 27, 2023
Le Chef de l’État Félix Tshisekedi participe, ce mardi à #Luanda en #Angola, au sommet quadripartite sur la situation sécuritaire dans l’Est de la #RDC. Les représentants de la SADC, la CIRGL, la CEEAC et l’EAC prennent part à cette rencontre. pic.twitter.com/RVFxx8c6m0
Mkutano huo pia umempongoza rais Felix Thisekedi wa DRC na Paul Kagame wa Rwanda kwa kuonesha nia ya kutumia njia ya mazungumzo ili kumaliza toafauti kati ya nchi hizo mbili, na kusaidia kupata amani Mashariki mwa DRC.
En réaffirmant son soutien indéfectible aux processus de paix de Nairobi et de Luanda, le Président de la République SE @GeneralNeva a réitéré “son appel vibrant à l’accélération du processus de désengagement effectif du M23, son cantonnement et son adhésion au programme de DDRR” pic.twitter.com/Rss51v3VIP
— Ntare Rushatsi House (@NtareHouse) June 27, 2023
Mkutano huo pia umepongzea jithada zinazofanywa na kikosi cha pamoja cha nchi za Afrika Mashariki, kurejea utulivu na amani katika maeneo yaliyokuwa chini ya waasi wa M23.
Dans son discours, le Chef de l’Etat SE Evariste #Ndayishimiye a salué la mobilisation régionale pour appuyer les efforts de pacification de l’Est de la #RDC. Il a toutefois indiqué “qu’il faut éviter, autant que possible, la superposition des initiatives sur la situation en RDC” pic.twitter.com/Ee8gqC8XfL
— Ntare Rushatsi House (@NtareHouse) June 27, 2023
Pia wameunga mkono jitihada za Jumuiya za EAC, ECCAS, ICGLR na SADC kuja na mbinu za pamoja kusaidia kupata uthabiti Mashariki mwa DRC.