Uganda - Siasa
Serikali ya Uganda yawapa wabunge pesa kununua magari
Serikali nchini Uganda inapanga kumpa kila mbunge dolla $56, 000 kununua gari wakati huu taifa hilo likikabiliwa na janga la Corona.Haya hapa baadhi ya maoni yako
Imechapishwa:
Dakika 10
Cheza - 09:52