Pata taarifa kuu
UCHAGUZI-SIASA

Uchaguzi wa urais wa Comoro: Assoumani apita katika duru ya kwanza

Rais wa Comoro anayemaliza muda wake , Azali Assoumani, 65, ametangazwa mshindi siku ya Jumanne katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais uliyofanyika siku ya Jumapili katika visiwa vya Bahari ya Hindi, huku upinzani ukikashifu udanganyifu katika uchaguzi huo.

Azali Assoumani amechaguliwa kwa muhula wa tatu mfululizo kama rais wa Comoro.
Azali Assoumani amechaguliwa kwa muhula wa tatu mfululizo kama rais wa Comoro. © AFP
Matangazo ya kibiashara

Mwanajeshi huyo wa zamani, ambaye atarejea kwa muhula wa tatu mfululizo, amepata 62.97% ya kura zilizopigwa, ametangaza mwenyekiti wa tume ya uchaguzi, Idrissa Said Ben Ahmada Jumanne jioni.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.