Pata taarifa kuu
ETHIOPIA

Waasi wa Tigray wailalamikia AU kwa kuegemea upande wa serikali

Waasi wa jimbo la Tigray nchini Ethiopia, wanaushtumu Umoja wa Afrika kwa kuegemea upande mmoja kuhusu mzozo unapendelea kufuatia uteuzi wa rais wa zamani wa Nigeria Olusegun Obasanjo kuwa msuluhishi.

Wapiganaji kutoka vikosi vya waasi wa jimbo la Tigray nchini Ethiopia, Juni 2021.
Wapiganaji kutoka vikosi vya waasi wa jimbo la Tigray nchini Ethiopia, Juni 2021. AFP - YASUYOSHI CHIBA
Matangazo ya kibiashara

Msemaji wa TPLF, Getachew Reda ameushutumu Umoja wa Afrika kwa kugemea upande wa serikali ya Ethiopia na kuongeza kuwa, hakuna matumaini ya mwafaka kupatikana.

Awali, Waziri Mkuu Abiy Ahmed alikuwa amekataa wito wa Umoja wa Afrika kusaidia katiika mzozo huo na kutuma wanajeshi katika jimbo hilo mwezi Novemba mwaka uliopita.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.