Pata taarifa kuu
MALI-MNLA-VITA-USALAMA

Waasi wa MNLA wako mbioni kusitisha vita

Muungano wa makundi ya wapiganaji wa kituareg nchini Mali , unatarajiwa kusaini makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo, leo alhamisi, wapatanishi katika mgogoro unaolikumba eneo hilo, wamethibitisha.

Wapiganaji wa MNLA wakipigwa picha karibu na mji wa Tabankort, nchini Mali. MNLA ni moja ya makundfi yanayounda CMA. Febrari 13 mwaka 2015.
Wapiganaji wa MNLA wakipigwa picha karibu na mji wa Tabankort, nchini Mali. MNLA ni moja ya makundfi yanayounda CMA. Febrari 13 mwaka 2015. REUTERS/Souleymane Ag Anara
Matangazo ya kibiashara

Mwaka wa 2013 Waasi hao wa Tuareg nchini Mali, walitangaza kusitisha harakati zao za kijeshi nchini humo.

Kulingana na taarifa kwenye mtandao wa waasi hao , kundi hilo la ukombozi wa eneo la Azawad, (MNLA) liliteka maeneo ya kutosha kuweza kuunda jimbo lao wenyewe.

Lakini kundi la wapiganaji wa kiisilamu waliosaidiana na waasi wa Tuaraeg kupigania maeneo hayo, halijatoa msimamo wake kuhusiana na mpango huu wa amani.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.