Jukwaa la Michezo
Nigeria yatetea ubingwa wa soka barani Afrika kwa upande wa wanawake
Imechapishwa:
Cheza - 23:09
Nigeria imetetea taji lake la wa soka barani Afrika baada ya kuishinda Cameroon bao 1-0. Hili ni taji lake la nane katika historia ya michuano hii . Tunajadili mafanikio ya Nigeria katika michuano hii.