Pata taarifa kuu

Washington: Wagner inasababisha 'maafa na uharibifu'

Uasi wa kikundi cha Wagner uliozinduliwa na kusitishwa nchini Urusi siku ya Jumamosi umeonyesha hatari inayosababishwa na kundi hili la mamluki katika nchi za Kiafrika ambazo zina ushirikiano nao, imesema Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani. 

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akifanya mkutano mkutano na waandishi wa habari, huko Beijing, China, Juni 19, 2023.
美国国务院发言人米勒(Matthew Miller)周一透过新闻稿指出,布林肯与习近平、中共中央外事委办公室主任王毅、中国外长秦刚等人就双边关系的关键优先事项以及一系列全球与区域议题进行"坦诚、实质与具建设性讨论"。

布林肯强调所有议题保持开放沟通管道的重要性,以减少误判风险。尽管美中激烈竞争,但美方将负责任管理这场竞争,以免美中关系陷入冲突。美方会持续利用外交手段提出关切领域以及美中利益一致处的潜在合作领域。

布林肯也表示,美中双方同意继续讨论制定指引双边关系的原则,双方也欢迎加强学生、学者与企业间的民间交流,包括努力增加双边直航航班。他提到处理美国公民在中国遭到错误拘留或禁止出境事件,仍是美国优先事项。

此外,布林肯也谈到中国不公平与非市场经济做法,以及最近对美国企业的行动。他并提及中国在新疆、西藏与香港的侵犯人权行为与个案。

布林肯强调维护台海和平稳定的重要性,并重申美国基于台湾关系法、美中三公报与对台六项保证的一中政策不变。

布林肯在北京召开的记者会上提及台湾议题时表达美方对中国在台湾海峡的"挑衅行为"的担忧。他重申美国一中政策不变,反对任何一方片面改变现状,美方期待和平解决两岸分歧,持续致力于确保台湾自我防卫能力。

布林肯表示,如果台湾发生危机,可能"引发一场冲击全世界的经济危机"。他解释,每天有50%商业货柜运输途经台海,而且有70%的半导体出口产品在台湾制造。
CHINA-USA/BLINKEN
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akifanya mkutano mkutano na waandishi wa habari, huko Beijing, China, Juni 19, 2023. 美国国务院发言人米勒(Matthew Miller)周一透过新闻稿指出,布林肯与习近平、中共中央外事委办公室主任王毅、中国外长秦刚等人就双边关系的关键优先事项以及一系列全球与区域议题进行"坦诚、实质与具建设性讨论"。 布林肯强调所有议题保持开放沟通管道的重要性,以减少误判风险。尽管美中激烈竞争,但美方将负责任管理这场竞争,以免美中关系陷入冲突。美方会持续利用外交手段提出关切领域以及美中利益一致处的潜在合作领域。 布林肯也表示,美中双方同意继续讨论制定指引双边关系的原则,双方也欢迎加强学生、学者与企业间的民间交流,包括努力增加双边直航航班。他提到处理美国公民在中国遭到错误拘留或禁止出境事件,仍是美国优先事项。 此外,布林肯也谈到中国不公平与非市场经济做法,以及最近对美国企业的行动。他并提及中国在新疆、西藏与香港的侵犯人权行为与个案。 布林肯强调维护台海和平稳定的重要性,并重申美国基于台湾关系法、美中三公报与对台六项保证的一中政策不变。 布林肯在北京召开的记者会上提及台湾议题时表达美方对中国在台湾海峡的"挑衅行为"的担忧。他重申美国一中政策不变,反对任何一方片面改变现状,美方期待和平解决两岸分歧,持续致力于确保台湾自我防卫能力。 布林肯表示,如果台湾发生危机,可能"引发一场冲击全世界的经济危机"。他解释,每天有50%商业货柜运输途经台海,而且有70%的半导体出口产品在台湾制造。 CHINA-USA/BLINKEN REUTERS - LEAH MILLIS
Matangazo ya kibiashara

"Ujumbe ambao tumepitisha kwa nchi hizi kwa umma na kibinafsi hapo zamani ni kwamba Wagner inapofika kundi la Wagner linapoingia katika nchi moja wapo, maafa na uharibifu vinashuhudiwa baadae," msemaji wa diplomasia ya Marekani Matthew Miller, almewaambia waandishi wa habari.

Urusi imeonyesha washirika wake wa Kiafrika kwamba Wagner inasababisha 'maafa na uharibifu'

.

Urusi: Putin atoa pendekezo kwa mamluki wa Wagner kujiunga na Jeshi au kwenda Belarus

Katika hotuba, Rais wa Urusi Vladimir Putin ametoa pendekezo kwa wapiganaji wa kundi la Wagner kujiunga na jeshi la Urusi au kumfuata kiongozi wao, Yevgeny Prigozhin, nchini Belarus.

Katika hotuba fupi ya televisheni, Vladimir Putin ameamua kuweka wazi msimamo wake kwa mamluki wa Wagner akiwaambia wachaguwe kwenda uhamishoni nchini Belarus wakiambatana na mkuu wao Yevgeny Prigozhin, huku akiwataka wajiunge na jeshi la Urusi.

Rais wa Urusi amesema Jumatatu kuwa amegiza "kuepusha damu" ni hali ambayo Ukraine na nchi za Magharibi walikuwa wakifurahia hali hiyo itokee wakati wa uasi wa kundi la Wagner. Amewashukuru Warusi kwa "uzalendo" wao na umoja wao. "Tangu kuanza kwa matukio, hatua zilichukuliwa kwa maagizo yangu ya moja kwa moja ili kuzuia damu kubwa zisimwagike," Valdimir Putin amesema.

Hakusema chochote juu ya hatima ya Yevgeny Prigozhin, wala waziri wake wa ulinzi, Sergei Choigou, au mkuu wa majeshi, Jenerali Valéry Guerassimov, ambao mkuu wa Wagner alikuwa akidai wauawe.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.