Pata taarifa kuu
UFARANSA-UGAIDI-HAKI

Hatma ya Salah Abdeslam kujulikana Jumatatu hii

Mahakama jijini Brussels nchini Ubelgiji ,Jumatatu wiki hii, inatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya Salah Abdeslam, mshukiwa wa mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jijini Paris nchini Ufaransa mwaka 2016.

Mwanasheria wa Salah Abdeslam, Sven Mary, wakati wa kesi ya mteka wake Februari 5, 2018.
Mwanasheria wa Salah Abdeslam, Sven Mary, wakati wa kesi ya mteka wake Februari 5, 2018. EMMANUEL DUNAND / POOL / AFP
Matangazo ya kibiashara

Tayari viongozi wa Mashtaka wanataka Abdeslam na mshtakiwa mwezake Sofiane Ayari kufungwa jela miaka 20 kwa makosa ya kigaidi na kumiliki silaha zilizopigwa marufuku.

Abdeslam ambaye anazuiwa nchini Ufaransa anakokabiliwa na kosa lingine la ugaidi lililosababisha vifo vya watu 130 mwaka 2015, hatakuwa Mahakamani wakati hukumu itakapotolewa.

Mashambulizi ya kigaidi yalioyotokea jijini Paris mwaka 2016 yaliua watu wengi na wengine wengi kujeruhiwa.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.