Al Ahly wameshinda taji la klabu bingwa barani Afrika mara kumi na moja
NAIROBI – Timu ya Al Ahly ya Misri imeshinda Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya 11 rekodi.
Imechapishwa:
Al Ahly ilitoka sare ya 1-1 dhidi ya Wydad Casablanca katika mechi ya mkondo wa pili nchini Morocco, na kupata ushindi wa jumla wa 3-2.
Tau 🦁🎶@percymuzitau22 pic.twitter.com/4ET53hfNuy
— Al Ahly SC 🇬🇧 (@AlAhlyEnglish) June 12, 2023
Mohamed Abdelmoneim wa Al Ahly alifunga bao la kusawazisha zikiwa zimesalia dakika 13.
Wydad walikuwa wamewashinda wapinzani wao wakubwa Al Ahly wakati walipokutana mwaka jana mjini Casablanca.
📸 Al Ahly SC pose with their precious trophy! 🏆 #TotalEnergiesCAFCL | @AlAhly pic.twitter.com/bEzmLadwfm
— TotalEnergies CAFCL - TotalEnergies CAFCC 🏆 (@CAFCLCC) June 12, 2023
Ligi ya mabingwa barani Afrika kwa miongo kadhaa imekuwa ikitawaliwa na vilabu vya Afrika Kaskazini.
Feeling great 😎😎😎 pic.twitter.com/DWABpWqJkJ
— Al Ahly SC 🇬🇧 (@AlAhlyEnglish) June 11, 2023
Timu kutoka kanda hiyo zimeshinda matoleo 16 kati ya 23 zilizopita za mashindano hayo.