KOMBE LA DUNIA 2022
Michuano ya kombe la dunia yafikia hatua ya 16 bora
Michuano ya kombe la dunia imefika katika hatua ya mwondoano, huku timu mbili za Afrika, Senegal na Morocco zikifanikiwa, kufika katika hatua hiyo.
Imechapishwa:
Cheza - 24:21