Tenisi: Mswizi Roger Federer atangaza kustaafu
Gwiji wa tenisi, Roger Federer wa Uswisi, ametangaza kustaafu mnamo Septemba 15, 2022 katika taarifa kwa vyombo vya habari mwishoni mwa michuano ya Kombe la Laver, ambayo itapigwa jijini London kuanzia Septemba 23 hadi 25. "Nimecheza zaidi ya mechi 1,500 katika miaka 24, amesema katika taarifa mchezaji huyo ana mataji 20 katika mashindano ya Grand Slam. Lazima nitambue wakati umefika wa kumaliza kazi yangu ya ushindani.Taarifa zaidi zinakuja,..
Imechapishwa: