Roland-Garros: Iga Swiatek ashinda taji la pili dhidi ya Coco Gauff
Iga Swiatek ambaye alitunukiwa mwaka 2020 huko Paris, ameshinda mashindano ya Roland-Garros kwa mara ya pili Jumamosi Juni 4.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Raia huyo kutoka Poland, ambaye ni bingwa wa dunia, ameonyesha umahiri wake dhidi ya Mmarekani Coco Gauff. Almeshinda kwa seti mbili (6-1, 6-3) na muda mfupi wa mchezo. Iga Swiatek ameshinda mashindano ya Paris kwa mara ya pili.
Taarifa zaidi zakujia