Jukwaa la Michezo
Michuano ya soka ya klabu bingwa na Shirikisho yaanza barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:28
Michuano ya soka hatua ya awali kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho imeanza kutifua vumbi katika mataifa mbalimbali barani Afrika.Tunachambua michuano hii pamoja na matukio mengine makubwa yaliyotokea viwanjani wiki hii.