Jukwaa la Michezo
Timu zitakazocheza fainali ya klabu bingwa barani Afrika na Shirikisho zafahamika
Imechapishwa:
Cheza - 29:10
Vlabu vitakavyocheza katika hatua ya fainali kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani Afrika katika mchezo wa soka vimefahamika. Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini itachuana Zamalek ya Misri kuwania taji la klabu bingwa huku TP Mazembe ya DRC ikifuzu kumenyana na Mo Bejaia ya Algeria.