Jukwaa la Michezo
Maandalizi ya Mataifa ya Afrika Mashariki kushiriki michezo ya Olimpiki
Imechapishwa:
Cheza - 21:55
Wanariadha mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wameanza maandalizi ya kushiriki katika michezo ya Olimpiki itakayofanyika mwezi Agosti nchini Brazil.Mamia ya wanariadha wiki hii walijitokeza katika uwanja wa Kipchoge Keino mjini Eldoret kushiriki katika mchujo wa kitaifa kutafuta nafasi ya kushiriki katika michezo hiyo.