Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Mchezaji bora wa soka duniani 2015

Imechapishwa:

Jukwaa la Michezo Jumapili hii tunazungumzia tuzo ya mchezaji bora katika mchezo wa soka duniania mwaka 2015.Wanaowania taji hilo ni pamoja na Lionel Messi wa Barcelona, Neymar pia kutoka Barcelona na bingwa mwaka uliopita Christiano Ronaldo anayechezea klabu ya Real Madrid.

Messi, Ronaldo na Neyma
Messi, Ronaldo na Neyma
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.