Pata taarifa kuu
WADA-MICHEZO-RIADHA

WADA yawachunguza baadhi ya wachezaji wanaotumia madawa ya kusisimu mwili

Urusi ni miongoni mwa nchi sita zilizoorodheswa na Shirika la Kimataifa linalopambana na matumizi ya dawa za kuongeza nguvu mwili kwa wachezaji WADA kutofuata masharti ya Shirika hilo.

Riadha inakumbwa na hali ya sintofahamu baada ya baadhi ya wachezaji ulimwengini kupatikana wakijihusisha na matumizi ya madawa ya kusisimua mwili.
Riadha inakumbwa na hali ya sintofahamu baada ya baadhi ya wachezaji ulimwengini kupatikana wakijihusisha na matumizi ya madawa ya kusisimua mwili. REUTERS/Amr Abdallah Dalsh
Matangazo ya kibiashara

Urusi imeorodheshwa pamoja na Argentina, Ukraine, Bolivia, Andorra na Israel.

Hata hivyo, Brazil, Ubelgiji, Ufaransa, Ugiriki, Mexico na Uhispani zinachunguzwa na Shirika hili na kutakuwa kuheshimu masharti wanayopewa kufikia mwezi Machi mwaka 2016 la sivyo waorodheswe kama nchi zinazoheshimu kazi ya WADA.

Nalo Shirkisho la riadha nchini Kenya limetakiwa kutoa maelezo ya kina kuhusu namna linavyopambana na matumizi ya dawa za kuongeza dawa mwilini kwa wanaridha wao la sivyo liorodheswe katika orodha hiyo.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.