Jukwaa la Michezo
AFCON 2017: Timu za Afrika Mashariki zaanza safari ya kuelekea Gabon
Imechapishwa:
Cheza - 20:42
Jukwaa la Michezo juma hili tunajadili michuano ya soka baina ya Mataifa ya Afrika kufuzu katika michuano ya mataifa bingwa barani Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.Tunazichambua timu za taifa za Afrika Mashariki na Kati.