TENIS-Federer-Ufaransa-Uswisi
Kivuli chatanda juu ya Federer kabla ya fainali kati ya Ufaransa na Uswisi
Katika Tennis, Roger Federer alijiondoa katika fainali ya mashindano ya Kimataifa ya ATP World Tour dhidi ya Novak Djokovich kwa sababu ya jeraha la mgongo.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Roger Federer mwenye umri wa miaka 33 raia Uswisi, amewaomba radhi mashabiki wake duniani kwa kushindwa kuendelea na mashindano hayo.
Siku ya Jumamosi alimshinda Stanslus Wawrinka kwa seti za
4-6 7-5 7-6 (8-6) katika mechi ya nusu fainali, ambayo ilidumu kwa muda wa saa mbli na sakika 48.