Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Brazil 2014: Kombe la dunia

Imechapishwa:

Juma hili katika Jukwaa la Michezo, tunajadili kuanza kwa michuano ya soka ya kombe la dunia nchini Brazil.Wenyeji Brazil, wameanza vema michuano hii sawa na Uholanzi ambao waliwashinda mabingwa watetezi Uhispania kwa mabao 5 kwa 1.Cameroon walifungwa na Mexico bao 1 kwa 0.

Wachezaji wa Brazil washangilia bao dhidi ya Croatia
Wachezaji wa Brazil washangilia bao dhidi ya Croatia
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.