UKWELI AU UONGO
Kulikuwepo na mpango wa kumuua rais Macron nchini Ukraine: Uongo
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Video ambayo imebuniwa kidijitali ikidai runinga na France24 ilitangaza kuwa rais Macron ameahirisha ziara yake kwenda Kyiv kwa madai ya njama ya kuuawa.