UKWELI AU UONGO
Sauti iliokarabatiwa kudai Donald Trump anamuunga mkono Jacob Zuma
Imechapishwa:
Cheza - 10:16
Sauti iliyobadilishwa ikidaiwa kuwa yake aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump, anayeunga mkono Jacob Zuma katika uchaguzi wa Afrika Kusini.
Matangazo ya kibiashara
Video hii inamuonesha aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump akiwaraia wapiga kura nchini Afrika Kusini, kukichagua chama kipya cha upinzani chake rais wa zamani Jacob zuma. Ukweli ni kuwa video hii imebuniwa kwa kutumia akili mnemba au akili bandia.