UKWELI AU UONGO
Taarifa za kupotosha kuwa Chancel Mbemba ataadhibiwa na CAF
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
Tumeangazia taarifa inayodai kuwa mchezaji wa timu ya taifa ya DRC Chancel Mbemba ataadhibiwa na CAF baada ya kutokea mvutano kati yake na kocha wa Morocco. Ukweli ni kwamba kwa sasa hakuna adhabu iliotolewa dhidi ya mchezaji huo.