Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Juhudi za kimataifa na za kikanda zaendelea kurejesha Bazoum Niger
Imechapishwa:
Cheza - 20:09
Makala hii imeangazia juhudi za kikanda na za kimataifa kuendelea ili kulaani mapinduzi ya kijeshi nchini Niger na kutaka kurejeshwa kwa utawala wa kiraia, Umoja wa mataifa ulikaribisha hatua ya Kenya kukubali kuongoza kikosi cha ulinzi huko Haiti, Siasa za DRC kuelekea Uchaguzi wa desemba 20, Sudan na kwengineko duniani, kwa hayo na mengine mengi ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka