Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Polisi wa Kenya watawanya maandamano ya upinzani, M23 na ripoti ya EU DRC
Imechapishwa:
Cheza - 20:02
Makala hii imeangazia maandamano yaliyofanyika jijini Nairobi na maeneo mengine nchini Kenya, siku ya Kiswahili duniani, lakini pia ripoti ya umoja wa Ulaya kuhusu vita ya M23 mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, mapigano ya Sudan na matukio mengine kwengineko duniani ..Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kupata mengi zaidi.