KENYA-SIASA
Ruto azindua ilani ya muungano wake wa siasa kuelekea Uchaguzi Mkuu
Nchini Kenya, naibu rais William Ruto ambaye anawania urais kupitia muungano wa Kenya Kwanza, anazindua manifesto au ilani ya muungano wake wa siasa jijini Nairobi, kuainisha yale atakayofanya iwapo atachaguliwa kuwa rais baada ya uchaguzi wa mwezi wa nane.
Imechapishwa:
Cheza - 02:45
Matangazo ya kibiashara
Mgombea mwingine, Profesa George Wajackoya naye pia anazindua manifesto yake siku ya Alhamisi jioni.
Lakini je, manifesto au ilani ina maana gani na je, wananchi wanapaswa kuamini ahadi zinazotolewa ? Profesa Herman Manyora, anachambua…