Habari RFI-Ki
Wakaazi wa Mashariki mwa DRC wawashtumu wanajeshi wa MONUSCO
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Alhamisi hii katika Makala ya Habari Rafiki, tunajadili hatua ya baadhi ya wakaazi wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuandamana na kuwashtumu wanajeshi wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani MUNUSCO kwa kushindwa kuwalinda kutokana na mauaji ya mamia ya watu Wilayani Beni baada ya kuvamiwa na waasi wa ADF NALU.